KANDORO AWAASA WAKAZI WA MBEYA PUNGUZENI KUCHANGIA SHERHE KILA SIKU KUKICHA CHANGIENI ELIMU KWANI NI MTAJI KWA WATOTO WETU

 

Mkuu wa mkoa Mbeya Abas Kandoro amesema nawaomba wakazi wenzangu wa Mbeya tunahitaji kubadilika ili mitizamo yetu isilenge zaidi katika uchangiaji wa harusi, zinazogharimu mamilioni ya pesa kwa muda mfupi tunahitaji kuchangia zaidi katika elimu kwani kuna vijana wetu hawana hata madawati ya kukalia, yatima, wajane na wengine wengi wenye mahitaji badala ya kuchangia harusi.


Ameyasema hayo alipokuwa anaongea na wandishi wa habari wa mkoa wa Mbeya mwishoni mwa wiki hii

picha na Mbeya yetu
Previous
Next Post »