Wazza
alifunga goli hilo la rekodi la 50 katika timu ya taifa na kumfanya
sasa kuwa ni legendari wa England, heshima aliyoipata baada ya muda
mrefu sana tangu akiwa na miaka 17 alipoibuka katika timu ya taifa.
Baada
ya kufunga goli hilo la 50 dhidi ya Switzerland, mashabiki waliofurika
katika uwanja wa Wembley waliripuka na kuimba, “Rooney! Rooney! Rooney!”
huku Rooney mwenyewe akijikuta mwenye hisia kubwa baada ya kuweka
historia hiyo.
Wachezaji
mbalimbali wa zamani na sasa, kupitia kurasa zao za mitandao ya kijamii
wameandika kumpongeza nahodha huyo mwenye miaka 29 kwa kuandika
historia hiyo katika maisha yake ya soka.
Artikel Menarik Lainnya
Maafisa 16 wa FIFA kizimbani kwa ufisadi
TIMU ZA JESHI LA POLISI TANZANIA WAJIFUA MICHUANO YA MAJESHI Baadhi ya Wanamichezo wa Polisi walioshiriki Michezo ya Wakuu wa Majeshi ya Polisi kusini mw
Mutapa works on U-20 women’s fitness 12.00 Normal 0 false false false EN-US X-NONE X-NONE
Tazama Sherehe ya Cristiano Ronaldo baada ya kuvunja Rekodi ya magoli Real Madrid. Mshambuliaji wa kimataifa wa Ureno na klabu
PICHA ZA BRANDAN RODGERS ALIVYOSEPA NA FAMILIA YAKE BAADA YA KUTIMULIWA LIVERPOOL. Brendan Rodgers amepigwa picha akiwa airport na familia yake ambayo ni mtoto wake pamoja
Serikali ya China kujenga kiwanja cha kisasa Chalinze Sheria ya kwanza ya mchezo wowote duniani ni eneo la kuchezea ama uwanja Serikali ya China
EmoticonEmoticon