MWENYEKITI WA CCM RAIS JAKAYA KIKWETE AMTAMBULISHA MGOMBEA URAIS NA MGOMBEA MWENZA WA CCM KWA WAZEE WA DAR ES SALAAM LEO

post-feature-image



Mwenyekiti wa CCM Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimtambulisha Mhe Samia Suluhu Hassan, Mgombea mwenza wa ugombea Urais kwa tiketi ya Chama hicho tawala Dkt John Pombe Magufuli leo Agosti 19, 2015 katika ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es salaam
Mgombea Urais kwa tiketi ya CCM  tawala Dkt John Pombe Magufuli akiongea na wazee wa Dar es salaam  leo Agosti 19, 2015 katika ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es salaam
 
Mwenyekiti wa Wazee wa CCM wa Dar es salaam akipeana mikono na Mgombea Urais kwa tiketi ya CCM  tawala Dkt John Pombe Magufuli baada ya kuongea na wazee wa Dar es salaam leo Agosti 19, 2015 katika ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es salaam
Meza Kuu ikimfurahia Mgombea Urais kwa tiketi ya CCM  tawala Dkt John Pombe Magufuli akiongea na wazee wa Dar es salaam leo Agosti 19, 2015 katika ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es salaam
Mgombea Urais kwa tiketi ya CCM  tawala Dkt John Pombe Magufuli akifuirahia jambo na mgombea urais-CCM Dr John Magufuli pamoja na Katibu Mkuu wa CCM Abdulrahman Kinana leo jijinbi  Dar es salaam  leo Agosti 19, 2015 katika ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es salaam
Meza Kuu ikimfurahia Mgombea Urais kwa tiketi ya CCM  tawala Dkt John Pombe Magufuli akiongea na wazee wa Dar es salaam leo Agosti 19, 2015 katika ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es salaam.Picha na IKULU
Previous
Next Post »