Mtandao wa Australian wa New Idea
umeripoti kuwa Mariah Carey ’45’ na mpenzi wake ambaye ni bilionea
kutoka Australia James Packer ’47’ wanategemea kupata mtoto wao a kwanza
pamoja.
Taarifa hizi zinasema Mariah amegundua hivi karibuni kuwa anaujauzito na wote wana raha yakupata mtoto.
Mariah Carey bado yuko kwenye ndoa na Nick Cannon baada ya kutengana bila talaka mwaka 2014.
Taarifa hizi zinasema Mariah amegundua hivi karibuni kuwa anaujauzito na wote wana raha yakupata mtoto.
Mariah Carey bado yuko kwenye ndoa na Nick Cannon baada ya kutengana bila talaka mwaka 2014.
EmoticonEmoticon