Kaseja aliyewahi kucheza vilabu vya Moro United, Simba na Yanga kwa vipindi tofauti. Alikuwa nje ya uwanja kwa kipindi kirefu toka alipojiweka kando na mabingwa wa soka Tanzania Bara, timu ya Yanga Sc, na kufuatiwa na misuguano ya kimkataba baina ya pande hizo mbili.
Juma Kaseja rasmi Mbeya City, asaini miezi Sita
Kaseja aliyewahi kucheza vilabu vya Moro United, Simba na Yanga kwa vipindi tofauti. Alikuwa nje ya uwanja kwa kipindi kirefu toka alipojiweka kando na mabingwa wa soka Tanzania Bara, timu ya Yanga Sc, na kufuatiwa na misuguano ya kimkataba baina ya pande hizo mbili.
EmoticonEmoticon