
Kufuatia kipindi hicho kumekuwa na maswali mengi wengi wakihitaji kujua umuhimu na faida za tunda hilo la nanasi.
Hivyo bila hiyana nimeona ni vyema nikupe hii orodha ya faida za nanasi kwa ujumla wake kama ifuatavyo:
Mizizi ya nanasi inapochemshwa huwa ni dawa ya matatizo ya figo na kuua minyoo mwilini.
Juisi ya majani yake ni dawa ya kutibu vidonda na matatizo ya magonjwa ya ngozi na majipu.
Maua ya nanasi yanapochanganywa na asali huwa ni tiba ya mafua na kikohozi, tumia kijiko kimoja kwa siku.
Nanasi pia huwa ni msaada kwa wale wenye shida ya matatizo ya akili na kupoteza kumbukumbu.
Tunda hili pia husaidia kutibu matatizo ya tumbo, ini, magonjwa ya bandama, homa, pumu pamoja na kusaidia kuongeza maziwa kwa kinama.
MAGUFULI AMJULIA HALI
NA KUMPA POLE MEYA WA JIJI LA MBEYA MH ATHANAS KAPINGA BAADA YA KUPATA
AJALI
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia chama cha
Mapinduzi (CCM),Ndugu John Pombe Magufuli akimjulia hali na kumpa pole
aliyekuwa Meya wa jiji la Mbeya Mh.Athanas Kapunga aliyepata ajali
wilayani Momba mkoani Mbeya wakati wa mbio za maandalizi ya Kampeni hivi
karibuni,Mh Kapunga amelazwa kwenye chumba maalum cha wagonjwa
mahututi (ICU) katika hospitali ya Rufaa mjini humo.
Mmoja wa Wauguzi walioko kwenye chumba maalum cha wagonjwa mahututi
(ICU),akimpa maelezo mafupi Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania kupitia chama cha Mapinduzi (CCM),Ndugu John Pombe Magufuli
alipokwenda kumjulia hali n kumpa pole aliyekuwa Meya wa jiji la Mbeya
Mh.Athanas Kapunga aliyepata ajali wilayani Momba mkoani Mbeya wakati wa
mbio za maandalizi ya Kampeni hivi karibuni.
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia chama cha
Mapinduzi (CCM),Ndugu John Pombe Magufuli akisalimiana na baadhi ya
Wauguzi walioko katika chumba maalum cha wagonjwa mahututi (ICU) katika
hospitali ya Rufaa Mbeya,mara baada ya kumjulia hali na kumpa pole
aliyekuwa Meya wa jiji la Mbeya Mh.Athanas Kapunga aliyepata ajali
wilayani Momba mkoani Mbeya wakati wa mbio za maandalizi ya Kampeni hivi
karibuni.
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia chama cha
Mapinduzi (CCM),Ndugu John Pombe Magufuli akisalimiana na Mke wa Meya
Mama Kapinga mara baada ya kutoka kumjulia hali na kumpa pole aliyekuwa
Meya wa jiji la Mbeya Mh.Athanas Kapunga aliyepata ajali wilayani Momba
mkoani Mbeya wakati wa mbio za maandalizi ya Kampeni hivi karibuni.
PICHA NA MICHUZI JR-MBEYA
Copy the BEST Traders and Make Money (One Click) : http://ow.ly/KNICZ
Copy the BEST Traders and Make Money (One Click) : http://ow.ly/KNICZ
EmoticonEmoticon