DUUU JAMAA ASIYE NA MIKONO AENDESHA GARI KWA KUTUMIA MIGUU LAKINI APIGWA MARUFUKU NIMEAMINI HAKUNA LISILOWEZEKANA HAPA CHINI YA JUA


Polisi nchini China wamemkamata mtu asiyekuwa na mikono akiendesha gari. Bwana huyo Wo Guo (45) si tu kwamba hakuwa na leseni bali alikuwa akitumia mguu wake wa kulia kubadili gia huku mguu wa kushoto ukikanyaga mafuta na breki.
Msemaji wa polisi amesema:
Ni jambo la ajabu, lakini ni hatari sana kwake kuendesha gari.
Polisi huyo amesema itakuwa vyema kama ataajiri dereva wa kumuendesha. Gari la bwana Wo linashikiliwa na polisi ili kumzuia asiendelee kuendesha.
Previous
Next Post »