SIKILIZA KIPINDI CHA INJILI KUTOKA SWAHILI RADIO NA MTANGAZAJI WAKO MARY MGAWE

LEO JUMAPILI SEPTEMBA 08, 2013 KATIKA KIPINDI  CHA INJILI  SWAHILI RADIO 
Muasisi na aliyekuwa Askofu Mkuu wa Kanisa la EAGT Marehemu Dkt. Moses Kulola enzi wa Uhai wake
Mtangazi wako Mary Mgawe anazungumzia  wasifu na mazishi ya aliyekuwa Askofu Mkuu wa kanisa la EAGT (EVANGELISTIC ASSEMBLIES OF GOD TANZANIA) Dkt. Moses Kulola nchini Tanzania mwishoni mwa mwezi uliopita Tanzania ilikumbwa na msiba wa kitaifa baada ya kumpoteza Askofu Dkt. Moses Kulola, aliyetambulika na wengi kama Baba,Babu, na hata mlezi wa mafunzo ya kiroho katika maisha ya watu wengi.
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete na mkewe Mama Salma Kikwete wakitoa heshima za mwisho na kuweka udongo katika kaburi la aliyekuwa Muasisi na askofu Mkuu wa Kanisa la EAGT Marehemu Dkt. Moses Kulola wakati wa ibada ya mazishi yake yaliyofanyika katika viwanja vya kanisa huko Bugando Mwanza Septemba 4,2013.
Sikiliza Swahili Radio Online Kipidi cha Injili na Mary Mgawe sasa hivi  Baada ya hapo miziki mchanganyiko ya Injili na kipindi kinarudiwa tena.
LINK 
http://tunein.com/radio/Swahili-Radio-s206110/

 Sikiliza kupitia simu yako ya mkononi
 Download app ya tunein kwa simu yako kisha search swahili radio.
Ukiona logo yetu ya swahili radio bofya na sikiliza.

Tuko hewani masaa 24 tukiwatangazia kutokea Jijini Washington D.C.  Marekani.



www.swahilitv.info www.swahilitv.blogspot.com
Previous
Next Post »