STAR WA KIPINDI CHA BACHELOR GIA ALLEMAND AJIUA

 

Mwanamitindo aliyewahi kuonekana katika Season 14 ya ABC’s reality Romance The Bachelor Alum Gia Allemand amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 29 katika jaribio la kutaka kujiua imebainika.

Duru za Habari kutoka nchini Marekani zinasema mrembo huyo  alikimbizwa katika Hospital ya New Orleans kwa ajili ya kuokoa maisha yake alakini ikashindikana.
Iligundulika siku ya Jumatatu usiku na mpenzi wake ambaye ni mchezaji wa mpira wa kikapu katika Ligi ya mchezo huo nchini Marekani NBA Ryan Anderson ndipo walipomchukua wakiwa na mama yake kwenda hospitalini ambako alifia.
Taarifa ya Familia hiyo ilisema nanukuu:
"Due to a critical loss of brain and organ function, life support was withdrawn today. Ms. Allemand passed away peacefully with her mother, boyfriend, and other lifelong friends by her side. As a practicing Christian, Gia did receive the sacrament of last rites."

Siku chache zilizopita nyota huyo alionekana mwenye afya na katika mtandao wa Kijamii wa Instagram alionekaneka aktupia ujumbe wa Neno la Mungu kupitia Biblia.

Allemand alionekana katika Season “ the Bachelor”  akitumia jina la Jake Pavelka. 

Kifo chake kimewashtua wengi nchini Marekani waliokuwa wakimfahamu kupitia kazi zake wakiwemo wasanii wenzake waliofanya kazi naye.

Host wa THE BACHELOR Chris Harrison ametoa masikitiko yake kuhusu kifo cha nyota mwenzake na kuwapa pole familia ndugu, jamaa na marafiki katika kipindi hiki kigumu.
Previous
Next Post »