VIONGOZI WA UWT KIGOMA WAFANYA ZIARA NCHINI BURUNDI

 

Viongozi na wanachama wa Jumuia ya wanawake wa chama cha CNDD – FDD (A’bakenyera Rugamba cha nchini Burundi wakiwapokea kwa mbwembwe na vifijo msafara wa viongozi wa jumuia ya wanawake wa CCM (UWT) waliofanya ziara ya ujirani mwema nchini Burundi
Kiongozi wa kikundi cha mradi wa ukamuaji mafuta ya mawese cha kina mama wa A’bakenyera Rugamba katika kijiji cha Kalindo, tarafa ya Kinyinya mkoa Ruyigi, Niragira Harieth akitoa maelezo kwa msafara wa ujumbe wa viongozi wa UWT mkoa kigoma waliokuwa katika ziara ya siku tatu ya ujirani mwema nchini Burundi.
Raisi wa Chama cha CNDD – FDD Mkoa Ruyigi nchini Burundi, Ngerageze Egide (wan ne kutoka kulia) akiwa na viongozi wa jumuia ya wanawake ya CCM (UWT) mkoa kigoma wakitembelea maeneo mbalimbali nchini humo wakati ujumbe huo uliokuwa ziara ya ujirani mwema nchini Burundi (wa pili kulia) ni Mjumbe wa baraza kuu la UWT Taifa Josephine Hosea ambaye alikuwa kiongozi wa msafara
Previous
Next Post »