Rapper kutoka TANGA, Roma Mkatoliki ameisifia sana
ngoma mpya ya msanii kutoka MOROGORO, Afande Sele ... Roma alifanya hivyo katika moja ya mtandao wa jamii
anaotumia na kuandika ni ngoma ambayo ameisikilza mara 80 mpaka sasa na kuielewa
sana ... Ngoma hiyo mpya, ambayo AFANDE amemshirikisha BELLE 9 inajulikana kama DINI TUMELETEWA imeonekana kumgusa sana ROMA mpaka kuandika hivyo ... Katika maneno yake, ROMA pia hakuacha kuongea na wasanii wenzie na fans kwa ujumla juu ya ngoma kama hizi kupewa kipaumbele ... ROMA, " |
Uncategories
HIKI NDO ALICHOKISEMA ROMA MKATOLIKI KUHUSU NGOMA MPYA YA AFANDE SELE, MUHIMU SANA KUSOMA ALICHOKISEMA
Next
« Prev Post
« Prev Post
Previous
Next Post »
Next Post »
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
EmoticonEmoticon